forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
551 B
Markdown
24 lines
551 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hii inahitimisha habari ya Yesu ya kuwaponya wanaume wawili waliokuwa na pepo
|
||
|
|
||
|
# kuchunga nguruwe
|
||
|
|
||
|
"kulinda nguruwe"
|
||
|
|
||
|
# kilitokea nini kwa mwanaume ambaye ametawaliwa na mapepo
|
||
|
|
||
|
"Yesu alifanya nini kwa mwanaume ambaye alitawaliwa na mapepo"
|
||
|
|
||
|
# Ndipo
|
||
|
|
||
|
Hii inaonyesha mwanzo wa tukio jingine kubwa la hadithi. Inaweza kuhusisha watu tofauti na tukio la zamani.Lugha yako inaweza kuwa na njia kwa kuonyesha hili
|
||
|
|
||
|
# mji mzima
|
||
|
|
||
|
Hii ina maanisha wengi au idadi ya watu wengi, sio lazima kila mtu.
|
||
|
|
||
|
# mji
|
||
|
|
||
|
"jiji na ardhi inayoizunguka"
|