forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
724 B
Markdown
20 lines
724 B
Markdown
|
# yeye
|
||
|
|
||
|
Hii alikuwa anarejea mtu ambaye alimponya
|
||
|
|
||
|
# usimwambie mtu yeyote
|
||
|
|
||
|
"usiseme kitu chochote kwa mtu yeyote" au "usimwambie mtu yeyote nimekuponya wewe"
|
||
|
|
||
|
# ukajionyeshe kwa makuhani
|
||
|
|
||
|
Sheria ya wayahudi ililazimu kwamba mtu akaonyeshe ngozi aliyoponywa kwa kuhani, ambaye tena angemruhusu yeye au yule kuwa pamoja na watu wengine.
|
||
|
|
||
|
# utoe zawadi ambayo Musa aliwaagiza,kwa ajili ya ushuhuda kwao.
|
||
|
|
||
|
Sheria ya Musa ililazimu kwamba yeyote aliyeponywa ukoma atoe sadaka ya shukrani kwa kuhani. Endapo kuhani atakubali zawadi, watu watajua kwamba mtu huyo ameponywa.
|
||
|
|
||
|
# kwao
|
||
|
|
||
|
Hii kwa uhakika inaweza kurejea kwa 1) makuhani au 2) wapingaji wa Yesu. Ikiwezekana, tumia kiwakilishi ambacho kitaonyesha kati ya makundi hayo.
|