forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.0 KiB
Markdown
32 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Patana na... wako
|
||
|
|
||
|
Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea katika hali ya mtu mmoja. Matukioyote ya viwakilishi vya "uki" na "wako" viko katika umoja, lakini lugha yako inaweza kukutaka uvitafsiri katika wingi.
|
||
|
|
||
|
# mshitaki wako
|
||
|
|
||
|
Huyu ni mtu anayemtuhumu mtu kwa kufanya jambo fulani ambalo ni ovu. Anampeleka mtuhumiwa mahakamani ili kumshitaki kwa hakimu.
|
||
|
|
||
|
# kukuacha mikononi mwa hakimu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "kukuacha mikononi mwa" inamaanisha kukukabidhi katika udhibiti wa mtu mwingine. "kumwachia hakimu ashughulike na wewe".
|
||
|
|
||
|
# hakimu akuache mikononi mwa askari
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "kukuacha mikononi mwa" inamaanisha kukukabidhi katika udhibiti wa mtu mwingine. "hakimu atamkabidhi kwa askari"
|
||
|
|
||
|
# askari
|
||
|
|
||
|
ni mtu mwenye mamlaka ya kufanya maamuzi ya hakimu.
|
||
|
|
||
|
# nawe utatupwa gerezani
|
||
|
|
||
|
Hili linaelezeka katika hali ya muundo tendaji. "na askari anaweza kukutupa gerezani"
|
||
|
|
||
|
# amini nawambieni
|
||
|
|
||
|
"Nawaambieni ukweli." Hiki kirai kinaongeza msisitizo kwa kile ambacho Yesu alisema baadaye.
|
||
|
|
||
|
# hutawekwa huru
|
||
|
|
||
|
"kutoka gerezani"
|