sw_tn/mat/04/01.md

56 lines
1.6 KiB
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Taarifa kwa ujula:
Hapa mwandishi anaanza sehemu mpya ya simulizi ambayo Yesu anatumia siku 40 nyikani, mahali ambapo Shetani anamjaribu. Katika mst. 4, Yesu anamkemea Shetani kwa nukuu kutoka Kumbukumbu la Torati.
# Yesu aliongozwa na Roho
Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Roho alimwongoza Yesu."
# kujaribiwa na Ibilisi
Hiiinaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "hivyo Ibilisi aliweza kumjaribu Yesu."
# Ibilisi...Mjaribu
Haya yana maanisha kiumbe yuleyule. unaweza kutumia neno lilelile kutafsiri yote mawili.
# alikuwa amefunga ...alikuwa na njaa
Haya yanamaanisha Yesu.
# siku arobaini mchana na usiku
"Siku 40 mchana na usiku" Hii ina maanisha vipndi vya saa 24. "siku 40."
# Kama wewe ni mwana wa Mungu, amuru
Ina wezekana kuwa na maana 1) hili ni jaribu la kufanya miujiza kwa ajili ya manufaa ya Yesu mwenyewe. "Wewe ni mwana wa Mungu, hivyo amuru." Au 2) "Thibitisha kwamba wewe ni Mwana wa Mungu kwa kuamuru." Ni vizuri kuamini kuwa Shetani alijua kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.
# Mwana wa Mungu
Hiki ni cheo muhimu kinacho eleza uhusiano kati ya Yesu na Mungu.
# Mwana wa Mungu
Hikini cheo cha maana cha Yesu.
# amuru mawe haya kuwa mkate
Ungeweza kutafsiri hii na nukuu ya moja kwa moja. "sema kwa mawe haya, Kuwa mkate."'
# mkate
"chakula"
# imeandikwa
Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "Musa aliandika hivi katika maandiko hapo zamani."
# Mtu hataishi kwa mkate tu
Hii inamaanisha kuwa kuna kitu ambacho ni cha muhimu zaidi katika maisha kuliko chakula
# bali kwa kila neno ambalo hutoka katika kinywa cha Mungu.
Hapa "neno" na "kinywa" humaanisha kwa kile Mungu anasema.