forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
983 B
Markdown
32 lines
983 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Yesu aliwauliza Mafarisayo swali.
|
||
|
|
||
|
# "Kwa nini wanasema.... mwanangu"?
|
||
|
|
||
|
Yesu alitumia swali kuwafanya mafarisayo wafikiri alichokuwa anakisema. "Tuwafikirie walivyosema... mwanangu" au "Nitaongea kuhusu wao wakisema... mwanangu"
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Daudi.
|
||
|
|
||
|
"Kizazi cha Mfalme Daudi" Neno "mwana" limetumika kuelezea kizazi. Kwa sababu hii inamuelezea atakayetawala juu ya ufalme wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Bwana akasema kwa Bwana wangu
|
||
|
|
||
|
Hii imenukuliwa kutoka katika kitabu cha zaburi inasema "Yaweh" na mara nyingine inasema "Bwana" "Bwana Mungu akasema kwa Bwana wangu" au "Mungu akasema kwa Bwana wangu"
|
||
|
|
||
|
# Bwana wangu
|
||
|
|
||
|
Daudi alikuwa akimuelezea Kristo kama "Bwana wake"
|
||
|
|
||
|
# Mkono wangu wa kulia
|
||
|
|
||
|
upande wa kulia ni sehemu ya heshima. Mungu alimuheshimu Mesiya kwa kusema "keti upende wangu wa kulia"
|
||
|
|
||
|
# Mpaka nitakapowaweka adui zako chini yako
|
||
|
|
||
|
Mpaka nitakapowashinda adui zako
|
||
|
|
||
|
# Amekuwaje mwana wa Daudi?
|
||
|
|
||
|
"Imekuwaje Kristo akaawa mwana wa Daudi" "hii inaonyesha kuwa Kristo sio
|