forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
680 B
Markdown
28 lines
680 B
Markdown
|
# Walitaka kumkamata
|
||
|
|
||
|
"walitafta njia ya kumkamata Yesu"
|
||
|
|
||
|
# Wakati huo huo
|
||
|
|
||
|
Mda huo huo
|
||
|
|
||
|
# Walikuwa wanawaogopa watu
|
||
|
|
||
|
Hii ndiyo sanbabu hawakumkamata Yesu moja kwa moja. Watu walimuheshimu Yesu na viongozi wa dini waliogopa kile ambacho watu wangekifanya ikiwa wangemkamata Yesu. "Lakini hawakumkamata kwa kuwa waliwaogopa watu."
|
||
|
|
||
|
# Walituma wapelelezi
|
||
|
|
||
|
"Mafarisayo na Makuhani wakuu walituma wapelelezi kumuangalia Yesu"
|
||
|
|
||
|
# Kama watapata kosa kwenye hotuba zake
|
||
|
|
||
|
"kwa kuwa walitaka kumtuhumu Yesu kwa kusema jambo baya"
|
||
|
|
||
|
# ili kumpeleka
|
||
|
|
||
|
"ili kumpeleka kwa" au "ili kumkabidhi kwa"
|
||
|
|
||
|
# Kwa uongozi na mamlaka ya Gavana
|
||
|
|
||
|
Kuongoza na mamlaka ni njia mbili za kuelezea kitu kimoja.
|