forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
969 B
Markdown
28 lines
969 B
Markdown
|
# Kuunganisha Maelezo
|
||
|
|
||
|
Kuunganisha Maelezo Hili ni tukio la lingine katika sehemu hii ya hadithi. Yesu bado yupo njia kuelekea Yerusalemu, wakati baadhi ya Mafarisayo wakizungumza naye kuhusu Herode.
|
||
|
|
||
|
# Muda mfupi baadae
|
||
|
|
||
|
'"Muda mfupi baada ya Yesu alipomaliza kusema"
|
||
|
|
||
|
# Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua
|
||
|
|
||
|
Tafsiri hii kama onyo kwa Yesu. Walikuwa wakitoa ushauri aende mahali pengine na kuwa salama.
|
||
|
|
||
|
# Herode anataka kukuua
|
||
|
|
||
|
Herode ataagiza watu kumuua Yesu. AT "Herode anataka kupeleka watu wake kuua wewe."
|
||
|
|
||
|
# yule mbweha
|
||
|
|
||
|
Yesu alimuita Herode mbweha. Mbweha ni mbwa porini mdogo. Maana inawezekana ni 1) Herode hakuwa tishio kubwa wakati wote 2) Herode alikuwa mdanganyifu
|
||
|
|
||
|
# siku ya tatu
|
||
|
|
||
|
Angalia:
|
||
|
|
||
|
# haikubaliki kumuua nabii mbali na Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
Viongozi wa Wayahudi waliua manabii wengi wa Mungu katika Yerusalemu na Yesu alijua kwamba wangeweza kumuua huko pia. AT "ni katika Jerusalem kwamba viongozi wa Wayahudi huwaua wajumbe wa Mungu."
|