forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
398 B
Markdown
12 lines
398 B
Markdown
|
# Habari za jumla
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi ambapo Yesu alikula katika nyumba ya mfarisayo. Hii mistari inamweleza msomaji nini kilifanyika baada ya sehemu ya habari kuu ya hadithi kuisha "
|
||
|
|
||
|
# Baada ya Yesu kuondoka pale
|
||
|
|
||
|
" Baada ya Yesu kuondoka katika nyumba ya mfarisayo"
|
||
|
|
||
|
# wakijaribu kumtega kwa maneno yake
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha walihitaji Yesu kusema kitu kibaya ili waweze kumshitaki
|