forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
821 B
Markdown
32 lines
821 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anamponya mkoma katika mji tofauti ambao hautajwi jina.
|
||
|
|
||
|
# Ikawa
|
||
|
|
||
|
Kauli hii inaonesha tukio jipya katika simulizi.
|
||
|
|
||
|
# mtu aliyejaa ukoma
|
||
|
|
||
|
"mtu alikuwa anaukoma." Hii inatambulisha mhusika mpya kwenye simulizi.
|
||
|
|
||
|
# akaangukia kichwa
|
||
|
|
||
|
"alipiga magoti na kichwa kikagusa chini" au "aliinama mpaka chini" (UDB)
|
||
|
|
||
|
# kama uko tayari
|
||
|
|
||
|
"kama unataka"
|
||
|
|
||
|
# unaweza ukanifanya msafi
|
||
|
|
||
|
ilifahamika kwamba yeye alikuwa anamuuliza Yesu aponywe. Hii inaweza ikasemwa wazi. NI: tafadhali nisafishe, sababu unaweza
|
||
|
|
||
|
# nifanye msafi ... uwe safi
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwenye usafi wa ibada, lakini ilifahamika kwamba yeye si msafi kwasababu ya ukoma. Yeye hasa anamuuliza Yesu amponye maradhi yake. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "niponye ukoma hivyo nitakuwa msafi ... upone"
|
||
|
|
||
|
# ukoma ukamwacha
|
||
|
|
||
|
"hakuwa naukoma tena" (UDB)
|