forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1002 B
Markdown
28 lines
1002 B
Markdown
|
# Maelezo kwa Ujumla
|
||
|
|
||
|
Nazarethi ni mji ambao ndimo Yesu alikulia
|
||
|
|
||
|
# Kwa hakika
|
||
|
|
||
|
"Kwa hakika" au "bila shaka." Huu ni uthibitisho wa nguvu.
|
||
|
|
||
|
# Daktari, jiponye mwenyewe!
|
||
|
|
||
|
Kama daktari haonekani kuwa ana afya, hakuna sababu kumwamini kuwa kweli ni daktari. Wakati watu wanasema mithali hii kwa Yesu, watamaanisha hawakuamini kwamba yeye ni nabii sababu hafanani.
|
||
|
|
||
|
# lolote tulilosikia ... fanya hivyo hivyo kwenye miji ya kwenu.
|
||
|
|
||
|
Watu wa Nazarethi hawakuamini Yesu kuwa nabii sababu ya sifa yake ya chini kama mtoto wa yusufu. Hawataamini isipokuwa waone wao wenyewe akifanya miujiza.
|
||
|
|
||
|
# Ukweli nasema kwenu
|
||
|
|
||
|
"Hii kweli ni hakika." Hii ni kauli ya msisitizo kuhusu kile kinachofuata.
|
||
|
|
||
|
# hakuna nabii anayepokelewa kwenye mji wa kwao
|
||
|
|
||
|
Yesu anaitengeneza kauli hii kwa ujulma ili kwmba awakemee watu. Yeye anamaanisha kwamba wanakataa kuamini taarifa za miujiza yake Kapernaumu. Wao walifikiri tayari walijua yote yanayomhusu yeye.
|
||
|
|
||
|
# mji wa kwao
|
||
|
|
||
|
"ardhi yao" au "wenyeji wa mji" au "nchi ambayo alikulia"
|