forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
1.0 KiB
Markdown
24 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# amewashusha chini wafalme kutoka kwenye enzi zao
|
||
|
|
||
|
Enzi ni kiti ambacho mtawala anakalia, na ni mfano wa mamlaka. Kama mfalme akiondolewa kwenye enzi yake, inamaanisha hana mamlaka tena ya kutawala. NI: "Yeye amechukua mamlaka ya wafalme au "watawala kuacha kutawala."
|
||
|
|
||
|
# amewashusha chini wafalme ... amewainua juu wenye hali ya chini
|
||
|
|
||
|
Kupingana kati ya hali hizi mbili iwekwe wazi katika tafsiri kama inawezekana.
|
||
|
|
||
|
# hali ya chini
|
||
|
|
||
|
"umaskini." Familia ya Mariamu walikuwa siyo tajiri. Angalia livyotafsriwa 1:48.
|
||
|
|
||
|
# amewainua ambao wana hali ya chini
|
||
|
|
||
|
Katika neno picha hili, watu ambao ni wa mhimu wako juu zaidi ya wale ambao si mhimu. NI: "amefanya watu wanyenyekevu kuwa wa mhimu" au "amewapa heshima ambao watu wengine hawakuwaheshimu."
|
||
|
|
||
|
# amewalisha wenye njaa ... matajiri wameondoka bila kitu
|
||
|
|
||
|
Kutofautisha kati ya matendo wawili yaliyo kinyume itengenezwe tafsiri iliyowazi kama inawezekana.
|
||
|
|
||
|
# kashibisha wenye njaa na chakula kizuri
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "amewapa wenye njaa chukula kizuri wale" au 2) "kawapa wahitaji vitu vizuri,"
|