forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
931 B
Markdown
28 lines
931 B
Markdown
|
# Taarifa kwa Ujumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kuelezea kitachotokea kwa Waisraeli watakapolazimisha kwenda mataifa ya adui zao.
|
||
|
|
||
|
# kana kwamba mlikuwa mkiukimbia upanga
|
||
|
|
||
|
Tazama maelezo kuhusu upanga na uwakilishi wake katika mistari iyotangulia
|
||
|
|
||
|
# kusimama mbele za aduii zenu
|
||
|
|
||
|
Kusimama mbele za adui huwakilisha kuanguka adui wanawapovamia na kupigana dhidi yao. : "kuwazuia adui zenu wanawavamia ninyi" au "kujibu mapigo dhidi ya adui zenu"
|
||
|
|
||
|
# nayo nchi ya adui zenu yenyewe itawamezeni
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaongelea kuhusu nchi ya maadui kana kwamba ilikuwa mnyama pori ambaye angewala Waisraeli. Lile neno "meza" husisitiza kwamba wengi wa Waisraeli watafia huko. : "matfia katika nchi ya adui zenu"
|
||
|
|
||
|
# Wale watakosalia miongoni mwenu
|
||
|
|
||
|
"Wale wa kwenu ambao wasiokufa"
|
||
|
|
||
|
# wataangamia katika dhambi zao
|
||
|
|
||
|
Kuangamia katika dhambi zao huwakilisha kuangamia kwa sababu ya dhambi zao.
|
||
|
|
||
|
# dhambi za baba zao
|
||
|
|
||
|
Hapa "za baba zao" huwakilisha wababu wao
|