forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
523 B
Markdown
20 lines
523 B
Markdown
|
# baada ya kuuzwa
|
||
|
|
||
|
"baada ya yeye kuiuza"
|
||
|
|
||
|
# haki ya ukombozi
|
||
|
|
||
|
Ile nomino "ukombozi" yawaeza kuelezwa na vitenzi "komboa" au "nunua tena ulichokiuza." : "haki ya kukikomboa"
|
||
|
|
||
|
# Kama nyumba hiyo haitakombolewa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutmkkwa katika mtindo wa utendaji. : "kama yeye au familia yake hwaikomboi hiyo nyumba"
|
||
|
|
||
|
# Nyumba hiyo haitakuwa ya kurejeshwa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Mtu aliyeinunua nyumba hiyo hatatakiwa kuirejesha"
|
||
|
|
||
|
# Mwaka wa Yubile
|
||
|
|
||
|
Tazama livyotafsiriwa kwenye mistari iliyotangulia.
|