forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
423 B
Markdown
12 lines
423 B
Markdown
|
# mwaka wa hamsini
|
||
|
|
||
|
Hii ni namba ya mpango. : "mwaka wa 50"
|
||
|
|
||
|
# Yubile kwa ajili yenu
|
||
|
|
||
|
Yubile ulikuwa mwaka ambao Wayahudi walipaswa kurejesha ardhi kwa wamiliki wake wa asili na kuwaacha huru watumwa. : "mwaka wa urejesho kwa ajili yenu" au "mwaka kwenu wa kurudisha ardhi na kuacha huru watumwa"
|
||
|
|
||
|
# mali na watumwa ni lazima warejeshwe
|
||
|
|
||
|
Hii yweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa kurudisha mali na watumwa"
|