forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
425 B
Markdown
12 lines
425 B
Markdown
|
# Maelezo Unganishi
|
||
|
|
||
|
Mungu anaendelea kumwambia Musa walichopaswa kumtendea mtu aliyemkufuru Mungu
|
||
|
|
||
|
# imempasa kubeba hatia yake mwenyewe
|
||
|
|
||
|
Kuteseka kwa ajili ya dhambi kumezungumziwa kana kwamba alikuwa mtu abebaye hatia yake. : "Sherti ateseke kwa ajili ya dhambi zake" au "ni lazima aadhibiwe"
|
||
|
|
||
|
# lazima auawe
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ni sharti watu watamuua" au "hakika yawapasa watu kumuua"
|