forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
876 B
Markdown
24 lines
876 B
Markdown
|
# aliyeposwa na mume mwingine
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "liyeahidiwa kuolewa na mwanamume mwingine"
|
||
|
|
||
|
# lakini ambaye hajakombolewa au hajaachwa huru
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambaye mume wake mtarajiwa hajamkomboa au kumpa uhuru"
|
||
|
|
||
|
# lazima waadhibiwe
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "niyapasa kumwadhibu huyo msichana mtumwa na hyuo mwanaume aliyelala naye"
|
||
|
|
||
|
# Hawatauawa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Haiwapasi kuwaua"
|
||
|
|
||
|
# mtu huyo alete sadaka yake ya hatia kwenye ingilio la hema la kukutania—kondoo dume iwe sadaka ya hatia
|
||
|
|
||
|
Huyo mwanaume atalazimika kuleta kondoo dume kwenye ingili la hema ya kukutania kuwa sadaka ya hatia kwa Yahweh"
|
||
|
|
||
|
# Nayo dhambi iliyotendwa itasamehewa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Naye Yahweh ataisameheme dhambi aliyoitenda"
|