forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
454 B
Markdown
16 lines
454 B
Markdown
|
# lazima atamleata huyo mbuzi aliyehai
|
||
|
|
||
|
Mbuzi hyu anaitwa wa azazeli katika 16:8
|
||
|
|
||
|
# kukiri juu yak
|
||
|
|
||
|
"kukiri juu ya mbuzi"
|
||
|
|
||
|
# ataweka hizo dhambi juu ya kichwa cha huyo mbuzi
|
||
|
|
||
|
Hapa matendoya Aroni yalikuwa ishara ya uhamisho wa dhambi za watu kwenda kwa mbuzi kama ishara kwamba huyo mbuzi angebeba adhabu kwa ajili ya hatia yao.
|
||
|
|
||
|
# maovu...uasi...dhambi
|
||
|
|
||
|
Haya yote kimsingi yanamaanisha jambo moja. Aroni anaungama kila aina ya dhambi watu waliyoitenda.
|