forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
484 B
Markdown
20 lines
484 B
Markdown
|
# Taarifa kwa Ujumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni juu ya kile watu wafanye.
|
||
|
|
||
|
# ngozi ya mwili wake
|
||
|
|
||
|
"Wake" hapa humrejelea mtu mwenye ugonjwa wa ngozi.
|
||
|
|
||
|
# ugonjwa wa kuambukiza
|
||
|
|
||
|
ugonjwa ambao unaweza kuenea kwa urahisi kutoka kwa mtu mmoja hadi kwa mwingine.
|
||
|
|
||
|
# atamtangaza kuwa ni najisi
|
||
|
|
||
|
"ni lazima kuhani amtangaze najisi mtu huyo." Mtule yule ambaye watu wengine hawapaswi kungusa amezungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile.
|
||
|
|
||
|
# kwa siku saba.
|
||
|
|
||
|
"kwa siku 7"
|