forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.2 KiB
Markdown
32 lines
1.2 KiB
Markdown
|
# Taariifa kwa Ujumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendele kuwaambia Musa na Aroni ni wanyama gani ambao watu waahesabu najisi
|
||
|
|
||
|
# Chemchemi au kisima...patabaki kuwa safi
|
||
|
|
||
|
Maji yale ambayo watu wameruhusiwa kunywa kutoka chemchemi au kisima yanapokusanyika pamezungumziwa kana kwamba palikuwa safi kimaumbile.
|
||
|
|
||
|
# kisima cha maji ya kunywa yanapokusanyika
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Kisima kinachokusanya maji ya kunywa"
|
||
|
|
||
|
# mzoga wa mnyama aliye najisi
|
||
|
|
||
|
maiti ya mnyama ambaye Mungu amamtaja kuwa hafai kwa watu kumgusa au kumla amezungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile
|
||
|
|
||
|
# yeye atakuwa najisi
|
||
|
|
||
|
Yule mtu asiyekubalika kwa kusudi la Mungu kwa sababu kagusa mzogo wa mmojawapo wa wanyama amazungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile.
|
||
|
|
||
|
# mbegu...kwa ajili ya kupanda
|
||
|
|
||
|
"mbugu ambazo mnatarajia kupanda"
|
||
|
|
||
|
# Mbegu hizo zitakuwa bado zingali safi...zitakuwa najisi
|
||
|
|
||
|
Mbegu ambazo Mungu amezitaja kuwa zimekubalika kwa watu kupanda zimezungumziwa kana kwamba zilikuwa safi kimaumbile na zile ambazo hazikubaki zimezungumziwa kana kwamba zilikuwa chafu
|
||
|
|
||
|
# Lakini kama maji yanawekwa juu ya mbegu
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. "Lakini kama mtaweka juu ya mbengu"
|