forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
484 B
Markdown
16 lines
484 B
Markdown
|
# ni lazima iliwe
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Yawapasa kuila"
|
||
|
|
||
|
# Haitaokwa pamoja na hamira
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "msiioke na hamira"
|
||
|
|
||
|
# matoleo... yafanywayo kwa moto
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "sadaka za kuteketeza"
|
||
|
|
||
|
# Yeyote ayagusaye atakuwa mtakatifu."
|
||
|
|
||
|
Hili ni onyo limaanishalo kwamba hao walio wa uzao wa Aroni wasio wanaume haikuwapasa kuigusa hiyo sadaka. Maana kamili ya kauli hii yaweza kuwa wazi.
|