forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
629 B
Markdown
20 lines
629 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendlea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda
|
||
|
|
||
|
# ushahidi fulani kuhusu kile alichotakiwa kushudia
|
||
|
|
||
|
Sheria na viongozi wa kiyahudi viliwataka watu kushuhudia iwapo walikuwa mashahidi kwa uharifu. Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "jambo fulani ambalo hakimu amemtaka yeye kushuhudia"
|
||
|
|
||
|
# Mungu amekitaja kuwa ni najisi
|
||
|
|
||
|
Kitu fulani ambacho Mungu amekita kuwa hakiwafai watu kukigusa au kukila kimesemwa kuwa kana kwamba kilikuwa kichafu kwa mwonekano.
|
||
|
|
||
|
# mzoga
|
||
|
|
||
|
"maiti"
|
||
|
|
||
|
# yeye ni najisi
|
||
|
|
||
|
Mtu asiyekubalika katika makusudi ya Munngu husemwa kana kwamba ni mtu aliyekuwa mchafu kimwili.
|