forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
499 B
Markdown
12 lines
499 B
Markdown
|
# Yahweh
|
||
|
|
||
|
Hili ndilo jina la Mungu ambalo alilifunua kwa watu wake katika Agano la Kale.
|
||
|
|
||
|
# kutoka kweye hema la kukutania, akisema, "Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Mtu yeyote
|
||
|
|
||
|
Hapa Yahweh anaanza kuzungumza na Musa. Hotuba hii inamalizikia katika 3:17. Hii inaweza kufasiriwa bila nukuu ndani ya nukuu. :"Kutoka kwenye hema la kukutania na akamwambia Musa kuzungumza na watu wa Israeli: 'Mtu yeyote aletapo"
|
||
|
|
||
|
# 'Mtu yeyote kutoka miongoni mwenu
|
||
|
|
||
|
"mmoja wenu yeyote" au "yeyote wa kwenu"
|