forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
403 B
Markdown
12 lines
403 B
Markdown
|
# Sentensi kiunganishi
|
||
|
|
||
|
Mungu anaendelea kuongea na Yoshua juu ya kile ambacho watu walitakiwa kukifanya.
|
||
|
|
||
|
# Ni lazima mfanye hivi kwa siku sita
|
||
|
|
||
|
"Ni lazima ufanye hivi mara moja kila siku kwa siku sita"
|
||
|
|
||
|
# Makuhani saba lazima wabebe tarumbeta za pembe za kondoo waume mbele za sanduku
|
||
|
|
||
|
Makuhani saba wangetembea mbele ya makuhani wengine ambao walikuwa wanalibeba sanduku na kutembea kuuzunguka mji.
|