forked from WA-Catalog/sw_tn
64 lines
1.4 KiB
Markdown
64 lines
1.4 KiB
Markdown
|
# neno la Bwana lilikuja
|
||
|
|
||
|
Hii ni idiamu ambayo inamaanisha Yahweh alisema. "Yahweh alizungumza ujumbe wake" (Angalia: tini_idiamu)
|
||
|
|
||
|
# neno la Bwana
|
||
|
|
||
|
Hapa "neno" linawakilisha ujumbe wa Bwana. AT "ujumbe wa Bwana"
|
||
|
|
||
|
# Bwana
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la Mungu ambalo aliwafunulia watu wake katika Agano la Kale. Tazama tafsiri ya ukurasa kuhusu Bwana jinsi ya kutafsiri hii.
|
||
|
|
||
|
# Amittai
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la baba yake Yona. (Angalia tafsiri za majina)
|
||
|
|
||
|
# Simama na uende Minawi, mji mkuu
|
||
|
|
||
|
"Nenda kwenye mji muhimu wa Minawi"
|
||
|
|
||
|
# Amka na uende
|
||
|
|
||
|
Haya ni maelezo ya kawaida ya kusafiri kwa maeneo ya mbali.
|
||
|
|
||
|
# piga kelele dhidi yake
|
||
|
|
||
|
"kuwaonya watu" (UDB). Mungu anawakilisha watu wa mji huo.
|
||
|
|
||
|
# uovu wao umeinuka mbele yangu
|
||
|
|
||
|
"Najua wanaendelea kutenda dhambi"
|
||
|
|
||
|
# akaondoka kukimbia kutoka mbele ya Bwana
|
||
|
|
||
|
"alikimbia kutoka kwa Bwana." "ameamka" inaelezea Yona aliondoka ambako alikuwa.
|
||
|
|
||
|
# na akaenda Taeshishi
|
||
|
|
||
|
"na akaenda Tarshishi." Tarshishi ilikuwa kinyume cha Minawi. Hii inaweza kufanywa wazi. AT "na wakaenda kinyume chake, kuelekea Tarshishi"
|
||
|
|
||
|
# Akatelemka mpaka Yafa
|
||
|
|
||
|
"Yona akaenda Yafa"
|
||
|
|
||
|
# Meli
|
||
|
|
||
|
"Meli" ni aina kubwa sana ya mashua ambayo inaweza kusafiri baharini na kubeba abiria wengi au mizigo mizito.
|
||
|
|
||
|
# Kwa hiyo akalipa nauli
|
||
|
|
||
|
Yona akalipia safari
|
||
|
|
||
|
# na akapanda Meli
|
||
|
|
||
|
"na akaingia kwenye Meli"
|
||
|
|
||
|
# pamoja nao
|
||
|
|
||
|
Neno "yao" linamaanisha wengine ambao walikuwa wakisafiri kwenye meli.
|
||
|
|
||
|
# mbali na uwepo wa Bwana
|
||
|
|
||
|
Yona alitumaini kwamba Bwana hakuwapo Tarshishi
|