forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
495 B
Markdown
20 lines
495 B
Markdown
|
# Jitayarisheni wenyewe kwa ajili ya vita ..... waamsheni mashujaa
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yote yanasema kujiandaa askari kwa vita.
|
||
|
|
||
|
# waamsheni mashujaa
|
||
|
|
||
|
"fanyeni watu wenye nguvu"
|
||
|
|
||
|
# Yafueni majembe yenu kuwa panga na visu vyenu vya kuchongea kuwa mikuki
|
||
|
|
||
|
Maneno haya mawili yanashiriki maana sawa. Wote wawili anawafundisha watu kurejea zana zao za kilimo katika silaha.
|
||
|
|
||
|
# majembe
|
||
|
|
||
|
zana ambazo hutumiwa kuvunja udongo ili kupanda mimea
|
||
|
|
||
|
# Visu vya kuchongea
|
||
|
|
||
|
visu ambavyo hutumiwa kukata matawi madogo
|