forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
376 B
Markdown
16 lines
376 B
Markdown
|
# Je ni kwa agizo lako ... kiota chake katika sehemu za juu?
|
||
|
|
||
|
Jibu lililofichika la swali hili ni ''hapana'' ''si kwa maagizo yako....kiota katika sehemu za juu"
|
||
|
|
||
|
# Je ni kwa agizo lako
|
||
|
|
||
|
"je ni kwasababu wewe unaiambia kufanya hivyo"
|
||
|
|
||
|
# huruka juu
|
||
|
|
||
|
"hupaa juu angani"
|
||
|
|
||
|
# majabali
|
||
|
|
||
|
ni vifusi virefu ni makao ya tai kwasababu wanyama ambao wangetaka kuwala hawawezi kuwafikia.
|