forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
322 B
Markdown
8 lines
322 B
Markdown
|
# ninyi ni wazee
|
||
|
|
||
|
mahali hapa 'ninyi' ni wingi na inarejelea Ayubu na marafiki zake.
|
||
|
|
||
|
# Urefu wa siku utazungumza; na wingi wa miaka utatufundisha hekima
|
||
|
|
||
|
Hii mistari miwili inamaanisha kitu kimoja. Elihu anatia mkazo kwa kuwa watu wazee ni wenye hekima kulika vijana, wanatakiwa kuwa wa kwanza kusema yale wanayoyajua.
|