forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
887 B
Markdown
24 lines
887 B
Markdown
|
# baada ya masikio yao kunisikia.... baada ya macho yao kuniona
|
||
|
|
||
|
masikio yanawakilisha wale waliomsikia na macho yanawakilisha wale waliomwona. KTN: "baada ya kusikia nilichowaeleza ... baada ya kuniona"
|
||
|
|
||
|
# waliweza kunishuhudia na kunithibitisha
|
||
|
|
||
|
"waliweza kunishuhudia kwa kunithibitisha"
|
||
|
|
||
|
# nilimwokoa mtu masikini aliyenililia
|
||
|
|
||
|
Hapa"mtu masikini" inahusu mtu yeyote ambaye ni masikini. KTN: "niliwaokoa watu masikini ambao walinililia"
|
||
|
|
||
|
# Baraka ya yule aliyekuwa karibu kupotea ilinijia
|
||
|
|
||
|
baraka ya mtu kwenda kwa mwingine inawakilisha kitendo cha huyi mtu kumbariki mwingine.KTN: "yule aliyekuwa karibu kupotea aliweza kunibariki"
|
||
|
|
||
|
# yeye aliyekuwa karibu kuangamia
|
||
|
|
||
|
Mtu yeyote aliyekuwa anakaribia kufa. KTN: " wale ambao walikaribia kufa"
|
||
|
|
||
|
# nilisababisha moyo wa mjane kuimba kwa furaha
|
||
|
|
||
|
"moyo wa mjane" inamaana ya mjane yoyote. KTN: "Niliwafanya wajane waimbe kwa furaha kuu"
|