forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
538 B
Markdown
20 lines
538 B
Markdown
|
# habari za Jumla:
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake watatu.
|
||
|
|
||
|
# hunihesabu mimi
|
||
|
|
||
|
"kunifikiria mimi"
|
||
|
|
||
|
# Mimi nimekuwa mgeni katika macho yao
|
||
|
|
||
|
Kuona kwao kunawakilisha mtzazamo wao dhidi yake. "wao wanafikiri juu yangu mimi kama mgeni"
|
||
|
|
||
|
# lakini yeye hanipi jibu
|
||
|
|
||
|
Jibu ni mwitiko wa kuita kwa Ayubu. "lakini yeye hajibu kwangu mimi" au " lakini yeye haji kwangu mimi"
|
||
|
|
||
|
# japokuwa Mimi nimemsihi yeye kwa midomo yangu.
|
||
|
|
||
|
Tungo"kwa midomo yangu" inamaanisha Ayubu anazungumza" ingawa Mimi ninazungumza kwake yeye na kumwomba yeye."
|