forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
397 B
Markdown
8 lines
397 B
Markdown
|
# macho ya watu waovu yatashindwa;
|
||
|
|
||
|
Macho yao yanawakilisha ufahamu wao. "ufahamu wa watu waovu utashindwa" au "watu waovu hawataweza kufahamu"
|
||
|
|
||
|
# tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.
|
||
|
|
||
|
Jina dhahania "tumaini" chaweza kuelezwa pamoja na kitenzi "tumaini" pumzi ya mwisho ya uhai inawakilisha kufa. " "Tumaini lao pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho" au " watatumaini kufa tu"
|