forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
461 B
Markdown
12 lines
461 B
Markdown
|
# Wewe unaleta mashahidi wapya dhidi yangu
|
||
|
|
||
|
Taabu za Ayubu kutoka kwa Mungu zinazungumziwa kana kwamba ni watu ambao wanatoa ushahidi dhidi yake.
|
||
|
|
||
|
# na kuzidisha hasira zako dhidi yangu
|
||
|
|
||
|
Jina la kufikirika "hasira" linaweza kutafsiriwa kama kivumishi "mwenye hasira." "na mwenye hasira na mimi zaidi na zaidi"
|
||
|
|
||
|
# wanishambulia na majeshi mapya.
|
||
|
|
||
|
Mungu kutuma taabu dhidi ya Ayubu kunazungumziwa kana kwamba Mungu mara kwa mara anatuma majeshi mapya dhidi yake.
|