sw_tn/jhn/20/11.md

16 lines
246 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# aliwaona malaika wawili na nguo nyeupe
Malaika walikuwa wamevaa nguo nyeupe
# wakamwambia
walimuuliza
# Kwa sababu wamemchukua Bwana wangu
Kwa sababu wameuchukua mwili wa Bwana wangu
# Nami sijui walikomweka
Nami sijui walipouweka mwili