sw_tn/jhn/19/04.md

8 lines
193 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Mimi sioni hatia yoyote ndani yake
Hii ni sawa na kusema kuwa sioni sababu ya kumwadhibu
# taji ya miiba...vazi la dhambarau
taji na vazi la dhambarau ni vitu vinavyovaliwa na wafalme tu.