forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
364 B
Markdown
16 lines
364 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi:
|
||
|
|
||
|
Yesu anamjibu Yuda (Siyo Iskarioti)
|
||
|
|
||
|
# Baba yangu
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu
|
||
|
|
||
|
# Neno ambalo mwasikia silo langu bali la Baba ambaye kanituma.
|
||
|
|
||
|
Yesu anasema kwamba yale ayasemayo yatoka kwa Baba. Ujumbe wa Yesu pia ni ujumbe wa Baba kwasababu Baba na Mwana wanakubaliana kikamilifu siku zote
|
||
|
|
||
|
# Neno
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza pia kuwa ujumbe
|