forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
268 B
Markdown
8 lines
268 B
Markdown
|
# Hamnijui mimi wala Baba yangu, kama mngelinijua mimi, mngelimjua na Baba yangu vile vile."
|
||
|
|
||
|
Yesu anaonyesha kwamba kumjua yeye ni kumjua Baba pia. Wote Baba na Mwana ni Mungu mmoja, kwa hiyo kumjua mmoja ni kuwajua wote.
|
||
|
|
||
|
# Baba yangu
|
||
|
|
||
|
Hiki nicheo muhimu kwa Mungu.
|