forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
369 B
Markdown
20 lines
369 B
Markdown
|
# Katika mwaka wa nne, siku ya tisa ya mwaka huo
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwezi wa nne kwa kalenda ya Kiebrania. Siku ya tisa ni karibu na mwanzo wa Julai kwa kalenda ya Magharibi.
|
||
|
|
||
|
# Mji
|
||
|
|
||
|
Huu ni mji wa Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# ulivunjwa
|
||
|
|
||
|
Watu wa Babeli waliubomoa ukuta uliozunguka mji.
|
||
|
|
||
|
# kati ya kuta mbili
|
||
|
|
||
|
Hizi ni kuta mbili ukuta wa bustani ya mfalme na ukuta wa mji.
|
||
|
|
||
|
# uwazi
|
||
|
|
||
|
"tambarare"
|