forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
595 B
Markdown
24 lines
595 B
Markdown
|
# waliokwenda
|
||
|
|
||
|
Hawa ni watu walioweza kukimbia katika kipindi cha uharibifu wa Moabu.
|
||
|
|
||
|
# Kivuli cha Heshiboni
|
||
|
|
||
|
sehemu salama katika mji wa Heshboni.
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa moto utatoka Heshboni, miale toka katikati ya Sihoni
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana kuwa uharibifu wa Moabu utaanza na kusambaa toka Heshiboni.
|
||
|
|
||
|
# Paji la uso wa Moabu na juu ya vichwa vya watu wenye kujivuna
|
||
|
|
||
|
Hapa wanazungumziwa watu wa Heshboni na viongozi wao.
|
||
|
|
||
|
# Paji la uso
|
||
|
|
||
|
Ni sehemu ya uso iliyoko juu ya macho. Ni ishara ya kujivuna.
|
||
|
|
||
|
# Juu ya vichwa vya watu wenye majivuno.
|
||
|
|
||
|
Hapa wanazungumziwa watu muhimu wa Moabu kama wakuu na viongozi.
|