forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
536 B
Markdown
16 lines
536 B
Markdown
|
# Kumfanya alewe
|
||
|
|
||
|
Adhabu ambayo Mungu ameituma kwa Moabu itawafanya wadharauliwe na adui zao, kama vile mlevi adharauliwavyo na kuchekwa.
|
||
|
|
||
|
# Sasa Moabu atayaonea kinyaa matapishi yake, hivyo amekuwa kicheko
|
||
|
|
||
|
Mungu anaendelea kumfananisha Moabu na mlevi.
|
||
|
|
||
|
# Je Israeli hajawa kicheko?
|
||
|
|
||
|
"Kwa kuwa mlikuwa mkiwacheka na kuwadharau watu wangu wa ufalme wa Israeli."
|
||
|
|
||
|
# Je alikuwepo kati ya wezi, ambae ulikuwa unatikisa kichwa chako ulipokuwa ukizungumza kuhusu yeye?
|
||
|
|
||
|
"Japokuwa walikuwa wezi hawakukamatwa. Ulitikisa kichwa na kuwadharau.
|