forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
645 B
Markdown
20 lines
645 B
Markdown
|
# Misri ni ndama mzuri
|
||
|
|
||
|
Misri inafananishwa na ndama mzuri.
|
||
|
|
||
|
# wadudu wakali
|
||
|
|
||
|
Hili ni jeshi la Babeli. Wadudu wakali watasababisha maumivu lakini sio maumivu ya kudumu.
|
||
|
|
||
|
# askari ni kama ng'ombe aliyenona
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anawafananisha askari kama "mg'ombe aliyenona" kwa sababu askari wanatunzwa vizuri.
|
||
|
|
||
|
# Hawatasimama pamoja
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anasema kuwa askari hawatapigana wakiwa na umoja lakini watakimbia wakifikiria kujiokoa wenyewe.
|
||
|
|
||
|
# Misri wana sauti kama nyoka na hutambaa mbali
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anasema kuwa taifa la Misri ni kama nyoka ambae hawezi kufanya chochote zaidi ya kutoa sauti na kutambaa kwa hofu wakata misitu wanapoingilia kiota chao.
|