sw_tn/jer/42/20.md

12 lines
218 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# tutachukua
"tutafanya"
# mmtakufa kwa upanga
Vita imeelezewa kwa kutumia silaha inayotumika katika mapigano. "Mtakufa vitani"
# sehemu ambayo mlitamani kwenda kuishi
"Misri ambapo mlifikiri kuwa mtakuwa salama"