forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
560 B
Markdown
20 lines
560 B
Markdown
|
# Ghadhabu na hasira yangu imemwagwa
|
||
|
|
||
|
"Nimeimwaga ghadhabu na hasira yangu"
|
||
|
|
||
|
# ghadhabu yangu na hasira yangu
|
||
|
|
||
|
"ghadhabu" na "hasira" vina maana moja.
|
||
|
|
||
|
# hasira yangu itamwagwa juu yenu
|
||
|
|
||
|
"nitaimwaga hasira yangu juu yenu"
|
||
|
|
||
|
# chombo cha kulaani na hofu, chombo cha kusema laana na mambo ya aibu
|
||
|
|
||
|
Maneo haya yana maana inayofanana yakisisitiza namna ambavyo mataifa mengine watawafanyia watu wa Yuda baada ya Bwana kuwaadhibu.
|
||
|
|
||
|
# Nimekuwa shahidi
|
||
|
|
||
|
Bwana ndiye anayehakikisha kuwa wana wa Israeli wanaadhibiwa ikiwa hawatatimiza ahadi tao ya kutii amri za Bwana.
|