forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
634 B
Markdown
16 lines
634 B
Markdown
|
# Uliniadhibu, nami nieadhibika.
|
||
|
|
||
|
Kurudiwa kwa maneno haya kunaashiria aidha ukali wa hasira ya Yahwe, au jinsi ilivyo na nguvu hasira yake: "Uliniadhibu sana" au "uliniadhibu, na nimejifunza kutokana na adhabu hiyo."
|
||
|
|
||
|
# Nirudishe.
|
||
|
|
||
|
Efraimu anamwomba Mungu ampe moyo wa kufundishika kama ndama asiye na mafunzo.
|
||
|
|
||
|
# Niliaibika na kudharirika.
|
||
|
|
||
|
Neno "kuaibika" na "kudharirika" kimsingi yana maana ya moja, na yanaweka mkazo kuhusu swala la kuaibika. "Niliaibika kweli kweli."
|
||
|
|
||
|
# Efraimu siyo mtoto wangu wa thamani? Yeye si mpendwa wangu, mwanangu nimpendaye?
|
||
|
|
||
|
"Efraaaimu ni mwanangu wa thamani. Ni mpendwwa wangu, mwanangu nimpedaye.
|