forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
475 B
Markdown
20 lines
475 B
Markdown
|
# Melezo ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Yeremia anazungumza na Waisraeli mateka.
|
||
|
|
||
|
# Aliyeketi katika kiti cha enzi cha Daudi.
|
||
|
|
||
|
Hapa anatajwa mfalme wa Yuda, ambaye pia ni mmoja wa wazawa wa Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Ona.
|
||
|
|
||
|
"Angalia" auaa sikiliza" au zingatia."
|
||
|
|
||
|
# Niko karibu kutuma upanga, njaa, na ugonjwa juu yao.
|
||
|
|
||
|
"Upanga" unawakilisha vita. "Ninakwenda kuwaadhibu."
|
||
|
|
||
|
# Kwa maana nitawafanya kuwa kama tini mbovu ambazo ni mbaya sana hazifai kuliwa.
|
||
|
|
||
|
"Nitawaadhibu kwa ukatili" au nitayaharibu maisha yao."
|