forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
871 B
Markdown
32 lines
871 B
Markdown
|
# neno la Bwana lilikuja
|
||
|
|
||
|
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:1.
|
||
|
|
||
|
# Je, siwezi kuwa kama huyu mfinyanzi kwenu, nyumba ya Israeli?
|
||
|
|
||
|
Kwa swali hili, Bwana anasisitiza mamlaka yake ya kufanya kama yeye apendezwavyo na Israeli. AT "Naruhusiwa kutenda kwako, nyumba ya Israeli, kama mfinyanzi anafanyavyo juu ya udongo"
|
||
|
|
||
|
# hili ni tamko la Bwana
|
||
|
|
||
|
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:1.
|
||
|
|
||
|
# Angalia
|
||
|
|
||
|
Neno "kuona" hapa linaongeza mkazo kwa ifuatavyo. AT "Hakika!"
|
||
|
|
||
|
# Kama udongo katika mkono wa mfinyanzi-ndivyo ulivyo mkononi mwangu
|
||
|
|
||
|
Kifungu hiki kinarudia kile kilichoingizwa katika maneno ya awali kwa namna ya mfano.
|
||
|
|
||
|
# ninaweza kutangaza jambo
|
||
|
|
||
|
"labda mimi kutangaza kitu" au "kwa mfano, mimi kutangaza kitu"
|
||
|
|
||
|
# kuuvunja, au kuuharibu
|
||
|
|
||
|
Maneno haya mawili yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza jinsi hukumu ya Mungu itaharibika.
|
||
|
|
||
|
# nitaondoka
|
||
|
|
||
|
"kuzuia" "kuacha"
|