sw_tn/jer/17/15.md

32 lines
684 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# tazama
"Angalia" au "Sikiliza" au "Jihadharini na kile ninachokuambia"
# wao wananiambia
Hapa neno "mimi" linamaanisha Yeremia na neno 'wao' kwa adui zake.
# Neno la Bwana liko wapi?
Watu wanatumia swali hili kumtukana Yeremia kwa sababu mambo ambayo alisema hakujawahi kutokea. AT "Ambapo ni vitu gani ambavyo Bwana alikuambia utatokea?" au "Mambo ambayo Bwana alikuambia utatokea hayakufanyika."
# Hebu lije
"Waache wapate"
# mchungaji akufuatae
Bwana alimuita Yeremia kuwaongoza watu, kama mchungaji anavyoongoza kondoo wake.
# Sikuitamani
Sikuhitaji
# matangazo yaliyotoka midomoni mwangu
"maagizo niliyosema" au "mambo niliyotangaza"
# Yalifanyika
"Nimewafanya"