forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
422 B
Markdown
28 lines
422 B
Markdown
|
# Taarifa za jumla
|
||
|
|
||
|
Yelemia anaongea na Bwana.
|
||
|
|
||
|
# Unikumbuke
|
||
|
|
||
|
"Kumbuka mimi" au "Fikiria mimi na hali yangu"
|
||
|
|
||
|
# wafuasi wangu
|
||
|
|
||
|
"wale wanaonitafuta kunidhuru"
|
||
|
|
||
|
# Katika uvumilivu wako usiniondoe.
|
||
|
|
||
|
"Tafadhali usiendelee kuwavumilia na usiruhusu nife sasa."
|
||
|
|
||
|
# Maneno yako yamepatikana
|
||
|
|
||
|
Nimesikia ujumbe wako.
|
||
|
|
||
|
# Niliwaangamiza
|
||
|
|
||
|
Nilielewa ujumbe wako
|
||
|
|
||
|
# jina lako limetangazwa juu yangu
|
||
|
|
||
|
watu walinitambua kuwa ni mmoja wenu
|