forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
549 B
Markdown
20 lines
549 B
Markdown
|
# Taarifa za jumla
|
||
|
|
||
|
Bwana anaongea na watu wa Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# Inua macho yako
|
||
|
|
||
|
"kuelewa nini kitakachotendeka kwako"
|
||
|
|
||
|
# Je, ni kundi gani alilokupa, kundi ambalo lilikuwa zuri sana kwako?
|
||
|
|
||
|
"Watu wote wameondolewa."
|
||
|
|
||
|
# Je, unasema nini wakati Mungu anawaweka wale ambao uliwafundisha kuwa marafiki?
|
||
|
|
||
|
"Watu ambao ulifikiri walikuwa marafiki wako watawashinda na kutawala juu yenu."
|
||
|
|
||
|
# Je, huu si mwanzo wa maumivu ya utungu ambayo yatakuchukua kama mwanamke aliye katika kuzaa?
|
||
|
|
||
|
Bwana anawaambia kwamba kukamata yao ni mwanzo wa maumivu watakayopitia.
|