forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
720 B
Markdown
28 lines
720 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Haya ni maneno ya BWANA
|
||
|
|
||
|
# siku zinakuja
|
||
|
|
||
|
"kutatokea wakati"
|
||
|
|
||
|
# asema BWANA
|
||
|
|
||
|
Tazama 1:7
|
||
|
|
||
|
# nitakapowaadhibu wote ambao hawajatahiriwa ambao wako hivyo hivyo katika miili yao
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha watu wa Israeli ambao wameingia katika agano la BWANA kwa kutahiriwa ki mwili, lakini hawakufuata sheria zake.
|
||
|
|
||
|
# Na watu wote wanaonyoa denge
|
||
|
|
||
|
Hii inawezekana kumaanisha wale watu wanaokata nywele zao kuwa fupi kwa lengo la kuabudu miungu ya kipagani.
|
||
|
|
||
|
# Kwani mataifa yote haya hayajatahiriwa
|
||
|
|
||
|
"Kwa sababu mataifa yote haya hayajaingia kwenye agano na BWANA kwa njia ya tohara."
|
||
|
|
||
|
# na nyumba yote ya Israeli ina moyo ambao haujtahiriwa.
|
||
|
|
||
|
"na nyumba yote ya Israeli hawajalinda agano LA BWANA kwa kumtii."
|