forked from WA-Catalog/sw_tn
60 lines
1.0 KiB
Markdown
60 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Yeremia amemaliza kuwaambia watu wa Yuda kitakachotokea katika nchi.
|
||
|
|
||
|
# Wakati huo
|
||
|
|
||
|
Tazama 7:31, 7:33
|
||
|
|
||
|
# asema BWANA
|
||
|
|
||
|
Tazama 1:7
|
||
|
|
||
|
# wataleta
|
||
|
|
||
|
neno "wa" linamaanisha watu watakaoiangamiza Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# wakuu wake
|
||
|
|
||
|
"wafalme wa Yuda"
|
||
|
|
||
|
# wataitandaza
|
||
|
|
||
|
"neno "wa" linamaanisha mifupa ya watu wa Yuda
|
||
|
|
||
|
# hivi vitu katika anga vimenifuata na kunitumikia
|
||
|
|
||
|
"vitu hivi katika anga ambavyo vilinipenda na kunitumikia," kiwakilishi "vi" kinamaanisha watu wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# kwamba vimetembea na kutafuta
|
||
|
|
||
|
Tazama 2:23
|
||
|
|
||
|
# na kutafuta
|
||
|
|
||
|
"na kwamba wameuliza juu ya"
|
||
|
|
||
|
# mifupa haitakusanywa na kuzikwa
|
||
|
|
||
|
"hakuna atakayekusanya mifupa na kuizika."
|
||
|
|
||
|
# watakuwa kama mavi
|
||
|
|
||
|
"BWANA anaonesha jinsi ambavyo watakuwa si wa kupendeza."
|
||
|
|
||
|
# kama mavi
|
||
|
|
||
|
"kama mbolea"
|
||
|
|
||
|
# juuya uso wa dunia
|
||
|
|
||
|
"katika ardhi yote"
|
||
|
|
||
|
# ambalo nimewafukuza
|
||
|
|
||
|
kiwakilishi "me" kinawakilisha watu wa Yuda
|
||
|
|
||
|
# watachagua mauti badala ya uzima kwa ajili yao, wote ambao watasalia kutokana na taifa hili ovu
|
||
|
|
||
|
"wale ambao bado wamebaki kutoka katika familia hii y a waovu watataka kufa badala ya kuishi"
|