forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
277 B
Markdown
12 lines
277 B
Markdown
|
# Usikae
|
||
|
|
||
|
Neno hili linasisitiza kuwa hakutaka Mlawi akae.
|
||
|
|
||
|
# Njia kuu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha njia kuu za mji pia ni sehemu ya soko ambayo watu hukusanyika wakati wa mchana.
|
||
|
|
||
|
# akamleta Mlawi nyumbani kwake
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa akamkaribisha Mlawi ashinde nyumbani kwake usiku ule.
|